Naombeni ushauri mie, nimeaibika sijui nitauficha wapi uso wangu

Pambana na hali yako Kwa kuwa umelianzisha ww itabidi ulimalize mwenyewe
 
Sijawahi kuona mpumbavu Kama wewe.
Simu ya mchepuko unaisave kwa jina la kike?
Huwezi kuishika kwa kichwa?
Halafu siku zote mchepuko anapewa pesa mkononi ku avoid records..
 
Uongo njoo ukweli nenda. Mimi nikituma hela nina la ninayemtumia hutokea, inamaana jina la mkeo lilitokea! Haiwezekani hata ufanye nini, tungo za kitoto hizi.
 
Mkuu umeamua tu kutufurahisha wanabodi naona!

Dunia ya kijanja hii kuna mambo ya muhimu mbayo ni lazima mtumia simu uyafanye kwenye chombo chako kwanza kwa ajili ya usalama wa chombo hicho na wewe mwenyewe(password) kabla ya kuanza kukitumia.

Jambo jingine, dunia imejaa matapeli hii, wakati ukijiandaa, utatumaje pesa moja kwa moja kabla ya kuwasiliana naye kwanza kwa simu kujiridhisha?

Kama habari hii ni ya kweli basi matapeli wa kimtandao bado wana fursa kubwa sana ya kuendelea kuvuna bila jasho.

Rudi nyumbani kwa mkeo huku ukijichekeleza na ukamhonge zawadi atakuelewa na yataisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona mpumbavu Kama wewe.
Simu ya mchepuko unaisave kwa jina la kike?
Huwezi kuishika kwa kichwa?
Halafu siku zote mchepuko anapewa pesa mkononi ku avoid records..
Acha uongo mkuu inamaana muda wote unakuwa na huo mchepuko? Ikitokea umesafiri na anahitaji hiduma yako utafanyaje?
 
Acha uongo mkuu inamaana muda wote unakuwa na huo mchepuko? Ikitokea umesafiri na anahitaji hiduma yako utafanyaje?
Itabidi tu anisubiri nirudi safari. Ukimtumia mchepuko pesa ukiwa safarini ndio anatumia hiyo pesa na ki benten kwa Uhuru zaidi. Tena anakupigia simu kabisa na kukudanganya Yuko kwa mama yake Mbagala. Kumbe anatumbuliwa buguruni
 
Hizi ndio zile script za Bongo movie.Jini anavuka barabara huku akiangalia magari kulia na kushoto.
Katika namba muhimu kuijua na kukariri ni namba ya wife.
Chai ikizidi utamu ongeza maji,sukari nyingi ni hatari kwa afya.
 
Ajali kazini tupe mrejesho bado imesimama nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…