Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
thanx sanaToyota passo
950 cc
5 to 8 tsh million
4 seats
Nahitaji ushauri kaka pesa sio tatizo sanauna shilingi ngapi!!??????????
TOYOTA passo show room bei gani kaka kama unajuathanx sana
TOYOTA passo show room bei gani kaka kama unajuaToyota passo
950 cc
5 to 8 tsh million
4 seats
pesa sio tatizo kwa kununua Hiyo Mini car, lakini pia nazingatia matumizi na matengenezo mkuuNunua rav 4 new model ya mwaka 2013 ni nzuri sana... Kama pesa sio tatizo
Nahitaji ushauri kaka pesa sio tatizo sana
nimepata fedha kiasi fulani cha kununua kagari
ist cc ngapiIST ndio gari nzuri saana!
asante, starlet cc ngapi, zenji nazipataje nomba ufafanuzuna uhakika? maana sio kwa maneno haya...
Haya bana..ushauri wangu kanunue AUDI kati ya A1 - A3
uchumi ukibana..nunua COOPER
ila wewe kwa mbwembwe zako nunua tu VITZ ukitaka durability tafuta STARLET Zenji benji nzuri kabisa...
Ukinunua Passo hakikisha baada ya mwaka mmoja una pesa ya kununua gari nyingineTOYOTA passo show room bei gani kaka kama unajua