Naombeni ushauri mpenzi wangu ameniblock kwenye namba zote na nikimpigia kwa simu nyingine hapokei!

Asante kaka lakn nampenda sana sana!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Utoto na utaahira vimekujaa sana, ukikua utagundua ya kuwa vocabulary ya "nampenda sana siwezi kumuacha" hai'exist katika maisha halisi.
Instead of using your emotions kwenye maamuzi yako use your brain na hapo kila kitu kitakuwa rahisi.
 
Utoto na utaahira vimekujaa sana, ukikua utagundua ya kuwa vocabulary ya "nampenda sana siwezi kumuacha" hai'exist katika maisha halisi.
Instead of using your emotions kwenye maamuzi yako use your brain na hapo kila kitu kitakuwa rahisi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu Anakuona


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Usipokuwa makini atakuharibia maisha yako,wewe utapoteza chanel mwenzako akiishi maisha ya furaha na mtu mwingine;kwa ushauri achana naye.
 
Unagongewa mkuu

#bamia_ndefunene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…