Naombeni ushauri mpenzi wangu ameniblock kwenye namba zote na nikimpigia kwa simu nyingine hapokei!

Ooooooh
Makubwa haya.. nilitegemea nawe utaandika upo na mmoja tangu. Sioni kama nina la kupendezwa nalo zaidi ya biashara kusikiliza.
Mie sio mmoja huyo mpaka leo. Nitakudanganya.

Sio vizuri kudanganya hata haipendezi.
 
Unasoma kidato cha ngapi boya wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ku date na watoto,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…