Naombeni ushauri mpenzi wangu ameniblock kwenye namba zote na nikimpigia kwa simu nyingine hapokei!

Asante kaka lakn nampenda sana sana!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio unampenda sana sana, wew mgeni wa kuto..m.ba subiri ukue ndo utajua ukweli kama ulikuwa unampenda au utoto unawasumbua.
 
Tafuta mademu zaidi ya mmoja kwa kufanya nao sex kwa njia salama za kiafya ili kuondoa utegemezi kutoka kwake kila kitu kitakuwa normal.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana ua nawapga na kuondoka, mzee baba awa mademu sio watu yaani ua wanaishi tu.

na utakuja kukumbuka maneno yangu, ww ni mkubwa wangu, watoto wa kikea ata kama ungemjengea chini ya bahari, ata kama unhekuepo uwezekano ukamtoa la saba, ukamrusha mpaka phd ndani ya mda mfupi, hataridhika.

na uzuri, watoto wa kike wapo wengi mzee baba, tafta demu, kama uko dar mi nko tiari ata kukuoa demi wangu, ni mzuri na bado ana bikra mi nakupa utatoa wewe, nenda nae, au ntakupa mdada yeyote mzuri.

madem wapo wengi mno, unaekutana nae leo, kesho utakutana mwingine mzuri, yaani naandika kwa herufi kubwa ACHANA NAE, ipo siku atarudi, na akirudi MKIMBIE, atakuletea magonjwa na asiporudi muache so mtu tena uyo hutadumu nae.


MUACHE
 
ata kama alkua anakaza papuchi hujala mteme yaani mzee unalalamikia mapenzi,

mtu tunaishi mda mrefu na wapenzi unakuta unao ata hmtext, mpaka ukjisikia kula,

alafu unamsumbua sana, kausha ata wiki 3, ila mi nashauri mteme, dem mwenyewe ukute alkua na shimo.

watu mademu wanawatoboa na wanaacha mda uo uo, nasemaje muache,
 
Wajanja wanasema UKIONA MANYOYA JUA KUKU WAKO KASHALIWA APO. Ushauri wangu ni juu yako kutafuta mwengine wa kufuga au kudeal na mwizi wako akurejeshee japo kashamuonja supu kabla hajammaliza mazima
 
Huyo demu kashajanjaruka so anakuona wewe ndezi tu. Cha msingi na mfereji mkatie umeme ghafla!

Usimpigie tena simu wala kumtafuta, kashakustukia unambana bana sana so anataka kuwa free, umemsuffocate sana na kimsingi kashaichoka hio hali. Isitoshe kuna boya kashaanza kumfariji huko mtaani so anafikiria akuteme tu ili awe free nae. Hii ni siri nakupa tu.Akirudia kukusaka jua bado anakupenda ila asipokutafuta tena jua ndio ntolee hio, mpe week nzima usimpigie na akipiga usipokee.

Next time tambua mwanamke hachungwagi. Its either atakupenda atulie zake akiwa na wewe tu au anakuinjoy tu ale hela zako ila akili iko kwa mwengine. Just be real nae tu bila kumletea wenge na kumsimanga, ukiona anazingua nae unapiga chini tu. Kuwa mwanaume next time. Kukurahisishia katika hilo hakikisha una mademu wawili au wa 3. Hio italeta balance na kuondoa wivu wa kijinga.
 
Utoto na utaahira vimekujaa sana, ukikua utagundua ya kuwa vocabulary ya "nampenda sana siwezi kumuacha" hai'exist katika maisha halisi.
Instead of using your emotions kwenye maamuzi yako use your brain na hapo kila kitu kitakuwa rahisi.
Usimmaindi sana chalii, ndio anajifunza mapenzi. Baharia hawezi kuja kulia lia namna hii, huwa anaelewa kabisa mwanamke below 25 yrs sio wa kufanya nae malengo bali ni sex toy tu.
 
Reactions: Qwy
Sio kuwa halina mafuta, yapo ila gauge mbovu. Ni sawa na kusafiria gari lenye gauge mbovu ya mafuta na tairi kipara. Hujui mda gani na wapi litazimikia ama ku burst🤣🤣🤣
 
Mambo ya chuo yameisha rudi kwenye maisha halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…