Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

Izrael k Adam

Member
Joined
Jan 18, 2022
Posts
6
Reaction score
5
Habari zenu wadau

Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii.

Sasa tatizo Mimi nashindwa kumpa namba na taarifa zangu za msingi maana naogopa jamani kama wadau JF naomba ushauri nifanyaje nimpe au nisi mpe?

Kama ndio kwanini nakama jibu nisimpe kwanini?
 
Hahahaha 😀😀😀😀😀 Tanzania kuna burudani sana
 
Habari zenu wadau

Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii.

Sasa tatizo Mimi nashindwa kumpa namba na taarifa zangu za msingi maana naogopa jamani kama wadau JF naomba ushauri nifanyaje nimpe au nisi mpe?

Kama ndio kwanini nakama jibu nisimpe kwanini?
Kama hauna Rasta usitume namba itakuwa ni scam[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo unaogopa huna hela?hujui kizungu?au ulishazoea kudanganya wanawake wa kiswahili sasa umekutana na mzungu anakuja kweli ili aone hayo mauongo yako...
 
Why online scammers say they're Nigerian princes
 
Mpe namba huyo robot uonje chungu ya kujuana na mademu wa mtandaoni
Habari zenu wadau

Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii.

Sasa tatizo Mimi nashindwa kumpa namba na taarifa zangu za msingi maana naogopa jamani kama wadau JF naomba ushauri nifanyaje nimpe au nisi mpe?

Kama ndio kwanini nakama jibu nisimpe kwanini?
 
Habari zenu wadau

Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii.

Sasa tatizo Mimi nashindwa kumpa namba na taarifa zangu za msingi maana naogopa jamani kama wadau JF naomba ushauri nifanyaje nimpe au nisi mpe?

Kama ndio kwanini nakama jibu nisimpe kwanini?
Hebu njoo inbox, ama mpe no zangu
 
Back
Top Bottom