jacobcm8
Senior Member
- Apr 10, 2014
- 173
- 122
Mimi ni mwanachuo mwaka wa tatu (BscCIM) pia Mfanyabiashara nmejitahidi kupambana na maisha nikafungua ofisi yangu ninayochezesha GAMES ZA WATOTO JAPO HATA WAKUBWA UNACHEZA TU (PLAYSATION 4) ila leseni ya biashara imeandikwa michezo ya watoto pia natengeneza computer simu etc.
Kuna changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni kuna uyo mzazi alinifuata akaniambia hataki mtoto wake ajihusishe na kucheza games ofisini kwangu nikamzuia kabisa na mtoto hajawahi kuja tena, kumbe mtoto anaenda kucheza games ofisi za mbali zaidi ila lawama zote nakuja kubeba mimi wa karibu.
Sasa kuna huyo Mwenyekiti wa Mtaa leo kaja kafukuza watu wote ofisini kwangu (wateja) sikuwepo mda huo ila nimeambiwa hataki mtoto yoyote mda wowote ule lakini leseni inasema ni michezo ya watoto.
Sasa nimekaa nimefikiri nataka nimfungulie kesi ya kumshitaki analeta fujo kwenye biashara maana alikuja mara mbili na zote ikiwemo ya leo amelewa pombe na amefukuza wateja lakini ile sio biashara haramu maana Tanzania nzima zipo nyingi tu hizi game senta.
Nafikiri nilete kijana nitakae mwajiri sasa akikutana na changamoto kama hizi itakua ni tatizo maana mimi naingia field hapo mwezi wa 10 na nitakua field semister nzima.
So nafikiri nimshitaki uyu mzee mlevi ashike adabu na biashara za watu tra nalipia kodi mimi. Leseni ninayo afisa biashara kanipa. Sasa sielewi shida ipo wapi.
Naombeni ushauri huyu mzee mwenyekiti nikamripoti
? maana nahisi naonewa katika hili
Kuna changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni kuna uyo mzazi alinifuata akaniambia hataki mtoto wake ajihusishe na kucheza games ofisini kwangu nikamzuia kabisa na mtoto hajawahi kuja tena, kumbe mtoto anaenda kucheza games ofisi za mbali zaidi ila lawama zote nakuja kubeba mimi wa karibu.
Sasa kuna huyo Mwenyekiti wa Mtaa leo kaja kafukuza watu wote ofisini kwangu (wateja) sikuwepo mda huo ila nimeambiwa hataki mtoto yoyote mda wowote ule lakini leseni inasema ni michezo ya watoto.
Sasa nimekaa nimefikiri nataka nimfungulie kesi ya kumshitaki analeta fujo kwenye biashara maana alikuja mara mbili na zote ikiwemo ya leo amelewa pombe na amefukuza wateja lakini ile sio biashara haramu maana Tanzania nzima zipo nyingi tu hizi game senta.
Nafikiri nilete kijana nitakae mwajiri sasa akikutana na changamoto kama hizi itakua ni tatizo maana mimi naingia field hapo mwezi wa 10 na nitakua field semister nzima.
So nafikiri nimshitaki uyu mzee mlevi ashike adabu na biashara za watu tra nalipia kodi mimi. Leseni ninayo afisa biashara kanipa. Sasa sielewi shida ipo wapi.
Naombeni ushauri huyu mzee mwenyekiti nikamripoti
? maana nahisi naonewa katika hili