safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Nashkuru sana baada ya kupigwa ban nimepata adabu ya kuwaheshimu viongozi wa Jamii Forums.
Naomba mawazo, nina kamshahara kangu napokea kwa mwezi kanapitia NMB sasa nataka kuweka AKIBA kiasi fulani mpaka baada ya miezi ishirini mbele niwe na milion tatu.
Ninachokitaka ni kwamba pesa nikiweka ndo iwe nimeweka nisitoe mpaka kwa muda niliouanisha, na ninachokitaka ni kwamba mshahara ukiingia tu waukate moja kwa moja mpaka kwenye akaunti ya akiba, nimeuliza majuzi NMB wamenambia inawezekana ila hapa nataka nipate data nyingi za ziada.
Sihitaji riba ninachokitaka pesa yangu ile ile ninayoweka ndo niitoe wala hamna tatizo.
Jee hii imekaaje changamoto zake wakuu?
NB : JF kiboko, ukitoka utarudi tu.
Naomba mawazo, nina kamshahara kangu napokea kwa mwezi kanapitia NMB sasa nataka kuweka AKIBA kiasi fulani mpaka baada ya miezi ishirini mbele niwe na milion tatu.
Ninachokitaka ni kwamba pesa nikiweka ndo iwe nimeweka nisitoe mpaka kwa muda niliouanisha, na ninachokitaka ni kwamba mshahara ukiingia tu waukate moja kwa moja mpaka kwenye akaunti ya akiba, nimeuliza majuzi NMB wamenambia inawezekana ila hapa nataka nipate data nyingi za ziada.
Sihitaji riba ninachokitaka pesa yangu ile ile ninayoweka ndo niitoe wala hamna tatizo.
Jee hii imekaaje changamoto zake wakuu?
NB : JF kiboko, ukitoka utarudi tu.