Ukiamua unaweza
Jiweke mazoea
Nilikuwa na mazoea ya kuamka saa 12 piga ua lazima mda huo ukifika nitakuwa macho
Ikafika kipindi mazoea ni kuamka saa 3 ,piga ua siwezi kuamka mapema mpaka saa 3
Niliweka mazoea nalala saa nane hili jambo lilinisumbua sana ,kila nikitaka kulala saa sita,saba au tano siwezi mpaka saa nane ndio usingizi huja
Kila jambo ni kuamua na mazoea ,ukiamua saa 11 uamke utaamka
Moyo ni kama mtoto mdogo ukimdekeza na kumzoesha ndivyo hivyo atakapodeka na kuzoea ,kama umeudekeza moyo na hujaamua haki ya mungu alarm utakuwa unazima kila siku
Konda analala saa 5/6 anaamka saa kumi
Amua ,jizoeshe ,ukishaamua kila siku mda huo utakuwa upo macho