Uzinzi ndiyo dhambi mbaya. Andika ulifoji cheque, uliiba pesa kweye akaunti ya mtu uone kama wife atasema kitu ataona ni bonge la mwanaume. Sasa kosea useme nililala na Fatuma nyundu, kesho yake ukaenda kwa Mwajuma ukurutu, weekend ukaspend na Asha ngedere!! utaona reaction.
Haya Nguli endelea kuchora dhambi zako, sasa ukishaungama unauharibu ushahidi ama unaendelea kuwa nao?
Nadhani anaweka kwenye file....Kwani aharibu document nyeti kama hiyo?
Akifanya hivyo basi bila shaka maisha yake yatakuwa ni ya wasiwasi sana.
hahahahaa anamwangalia na kumuona huyu vipi?Unaweza kuta alieokota anakucheke kimoyo moyo
jinsi dhabi zako zilivyo za kitoto....
Huku yeye zake ni kubwa mno lol
suppose ni mkeo lol