Ni facult gani za sayansi nzuri kusoma chuo, kwa mtu wa CBG na PCB ambazo ajira ake ni rahisi kupata na zina mshahara mzuri???? Naombeni rafiki zangu mnisaidie kabla ya tareh 29 ili applctn tujue zinakaaje plzzzzz
Ni facult gani Nzuri kusoma.chuo kwa kwa mtu alie soma CBG au PCB kwa upande wa facult za science...... ni degree lakini naombeni mnisaidie coz hadi sahizi tunashindwa kufanya maamuz sahihi....
Facult iwe rahisi kupata kazi na mshahara wake uwe ni mzuri plz nitafurahi ukinitajia kama tano hivi plz rafk zangu naombeni msaada wenu