Kakaaa hatamimii niliacha st joseph kilechuoo mbuzii arushaa nanipoo diploma ya afya niliondokaa bilahataa taarifaa hata ukiondokaa na taarifaa watasitisha tuu kwahiyoo kama unavyovigezo utapata mkopo frshii hata mimii niliaply degree tena ruaha university iringa nikapata mkopo asilimia nzurii tuu ilakozii badoo nikawaa siikubalii lakinii batch ilivyotokaa skuwepoo kwenye majina ya kusainii kwamwananguu andaa 25% yaa pesa uliotumiaa kwa miakaa uliosoma babaa uwapelekee mapemaaa watakudumbukiziaa hawanagaa shidaaa