Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Dah, Wengine yanatukera yalivyokuwa mengi hayo masharafaWadau wa JF
Hamjamboni?
Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio
Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya kuwa na masharubu
Urefu wangu ni ni futi 6 na uzito wa kg 92 nikiwa na rangi nyeusi
Kwa heshima kubwa naombeni ushauri wenu
Aksanteni sana
Mambo ya Walawi 19:27 Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.Wadau wa JF
Hamjamboni?
Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio.
Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya kuwa na masharubu Urefu wangu ni ni futi 6 na uzito wa kg 92 nikiwa na rangi nyeusi.
Kwa heshima kubwa naombeni ushauri wenu.
Aksanteni sana
Nenda Kaole.Wanaweza kukushauri maana waigizaji wana namna nyingi ya kubandika nywele za mahali popote.Wadau wa JF
Hamjamboni?
Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio.
Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya kuwa na masharubu Urefu wangu ni ni futi 6 na uzito wa kg 92 nikiwa na rangi nyeusi.
Kwa heshima kubwa naombeni ushauri wenu.
Aksanteni sana
Mkuu ungeweka picha ingekua powaa....tukapata pa kuanzia....Wadau wa JF
Hamjamboni?
Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio.
Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya kuwa na masharubu Urefu wangu ni ni futi 6 na uzito wa kg 92 nikiwa na rangi nyeusi.
Kwa heshima kubwa naombeni ushauri wenu.
Aksanteni sana
Naunga Mkono HojaMkuu ungeweka picha ingekua powaa....tukapata pa kuanzia....
Una umri gani?Wadau wa JF
Hamjamboni?
Kwa muda mrefu nimejitahidi sana kuwa na muonekano wenye moustache bila mafanikio.
Umri wangu kwa sasa unasonga mbele kwa kasi lakini sijona mafanikio yeyote zaidi ya kuwa na masharubu Urefu wangu ni ni futi 6 na uzito wa kg 92 nikiwa na rangi nyeusi.
Kwa heshima kubwa naombeni ushauri wenu.
Aksanteni sana
45Una umri gani?
Dunia ina mambo, vile me sipendi kiwa na hii makitu eti kuna mtu anatamani. Bro hata ukiwa nayo haya kama huna mvuto huna tu.
Tafuta hela hizo sharubu zinajiotea zenyewe tu
Nyowa hapo kwenye huo mustachi nywele zitakuja, na kama upo Dar au palipo na maduka ya SH Amon nenda dukani huwa wana madaktari wa ngozi watakushauri ununuwe mafuta gani ya kupaka hapo kwenye mustachi nywele lazima zije.
Matola nimeku pm.Nyowa hapo kwenye huo mustachi nywele zitakuja, na kama upo Dar au palipo na maduka ya SH Amon nenda dukani huwa wana madaktari wa ngozi watakushauri ununuwe mafuta gani ya kupaka hapo kwenye mustachi nywele lazima zije.
Kupumbuka Wyne Roon alikuwa na uwalaza sasa kipara kimeota nywele.
NAKAZIA 👍🏽Mkuu ungeweka picha ingekua powaa....tukapata pa kuanzia....