Naombeni ushauri nipo njia panda

The same case to me ,na kwa sasa tumetengana ,wazazi wake walumwambia arudi kwao alirudi ,na sasa hatupo pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo ndoa tayari maana uhusiano wenu tayari umeshuhudiwa na Wazazi wa Pande zote mbili, unataka ndoa gani tena? Kama unataka kuvaa Shera njoo Kwangu ntakuvalisha, Wachaga hao wabahili aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi imani yangu bado sijawa yaani hata sielewi...nao walisema tunamuazima kwa kipindi ambacho atajifungua awe chini ya mama mkwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hilo linaonekana wamekosea toka mwanzo walipo mruhusu kwenda kujifungulia huko kwa mkwe,sasa wanataka wasawazishe kosa maana watu wengine wamezoea kuoa uzeeni.ushauri kwa hiyo mke wazazi wako wanataka ndoa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni dini gani??

Kama n muslim ndoa ina nguzo zake, lazima mawalii wa pande zote mbili wawepo na watoe idhini ya kukuozesha kama hili halijapita wewe bado kua mke

Hata kama anataka kukuoa lakini lazima aheshim mawazo ya wazazi wako, imagine umezaliwa wazazi wako wakateseka kukulea kwa shida na raha ukawa hivi had nawe waenda itwa mama leo uwakaidi

Siamini sana kwenye ndoa za kimila, nimeshahudia pia watu wametolewa mahari harusi ikapangwa na bado ndoa haikua kiimani hujakua mke halali bado.

Ukitolewa mahari ww ni mchumba wa mtu sio mke.
 
Mimi ni mkristo...mkatoliki hata wazazi pia wamesema ukitolewa mahari kama hakutakuwa na ndoa karibuni kuna namna ambayo wazazi wanakuaga na kukukabidhi kwa mchumba wako lakinibwao walisema tuu tunamuazima ili ajifungue kwenye uangalizi wa mama mkwe. na kweli siwezi kukaidi wazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwakaidi wazazi wako, na mtoto kwa mama hakui sikiliza wazazi wako huyo hajawa mume rasmi bali mchumba tena mchumba halali sababu mahari tayari.
 
Basi huyo jamaa anataka ukosane na wazazi wako kwani walijua zima tu kwa makubaliano leo wanaouhitaji ili wafuate utaratibu ifuatwe wanakuzuia!jaribu kumkumbusha na ukiona hajielewi huyo sio muoaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…