uyo jamaa anajali mzigo tu hajali ndoa.Basi huyo jamaa anataka ukosane na wazazi wako kwani walijua zima tu kwa makubaliano leo wanaouhitaji ili wafuate utaratibu ifuatwe wanakuzuia!jaribu kumkumbusha na ukiona hajielewi huyo sio muoaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje utaachwa... me naamin jamaa anajipanga vizur..tena kama n mchaga nadhan atakuwa ana hustleKwahiyo niwakaidi wazazi kwamba sirudi na what if nikibaki na baade nije kuachwa akaoa mwingine nitaenda wapi na wazazi nilishawakataa??
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaume mnajijua wenyewe kwakweli. Unaweza mtolwa mahari ukamzalisha na bado ukaenda oa kwingineUmejuaje utaachwa... me naamin jamaa anajipanga vizur..tena kama n mchaga nadhan atakuwa ana hustle
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichukulie JF serious kiasi hicho....sio kila picha ni mhusika....na je hata kama ni mimi kama mchumba amebariki hilo vazi kuna tatizo?? Ukiwa mchukba wa mtu inabidi uvae madera tuu?? usifanye maisha yawe magumu kihivyoKimini ulichovaa tu mchumba wa MTU ni kuchumba tu
Uolewe Mara ngapi ulishapigwa bao na mtoto unaye . mahari ushalipiwa wazazi wakabariki ukajifungulie ukweni kama unaenda kwenu ni kusalimia tu
Labda wamepata mume mwingine ukienda naye akakipe mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
OK kumbe hata inshu kumbe siyo serious hàihitaji ushauri seriousUsichukulie JF serious kiasi hicho....sio kila picha ni mhusika....na je hata kama ni mimi kama mchumba amebariki hilo vazi kuna tatizo?? Ukiwa mchukba wa mtu inabidi uvae madera tuu?? usifanye maisha yawe magumu kihivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tunaongelea ishu au mavazi na picha unazosemea wewe hata hivyo asante kwa ushauri umepokelewaOK kumbe hata inshu kumbe siyo serious hàihitaji ushauri serious
Nenda kwenu atakufuata na kikubembeleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini siku wanayotoa mahari walisema tunamuazima akajifungue kwa mkwe wake...walipoulizwa je anaenda moja kwa moja wakasema hapana. Basi wangekuwa wawazi kabisaKichaga mahari ni ndoka kabsa wakitaka urudi kwenu inabidi mrudishe mahari kwanza na kwa wachaga kama kweli utaondoka ujue hawatakufuata tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka ukienda kuomba ushauri mshauri anangalia vyote cha kwanza ni physical appearance time uliyoenda na baadae jambo lokupelekaKwani tunaongelea ishu au mavazi na picha unazosemea wewe hata hivyo asante kwa ushauri umepokelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya namna wazazi wa pande mbili wakutane na kukubaliana kwa pamoja.Habarini wana JF,
Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa mtoto wangu.
Kinachonifanya niombe ushauri ni hali iliyopo sasa.
Mwaka jana mwezi wa 6 mwenzi wangu alikuja kutoa mahari kwetu na kunivalisha pete ya uchumba wakati huo nilikuwa na mimba ya miezi 5.
Upande wa kiume wakaahidi tufunge ndoa mwezi wa 12 lakini ikaonekana kama Mungu akijalia nitajifungua salama basi mtoto atakuwa mdogo sana basi wakasogeza mpaka mwezi wa 4 mwaka huu na wakasema inabidi nikajifungue kwa mamamkwe na nitakuwa chini ya uangalizi wake .
namshukuru Mungu nilijifungua salama.
Sasa hivi mtoto ana miezi 5 wazazi wangu wanasema nirudi nyumbani sababu sijaolewa mpaka wanikabidhi kwa ndoa kabisa ila mama mkwe anasema nibaki sababu mahari ni ndoa tayari kanisani kubariki tuu mimi ni mke wa mtu. mchumba wangu ananiambia nikiondoka kurudi kwetu niondoke moja kwa moja nisirudi kwake. naombeni ushauri wenu juu ya hili.
Je ni kweli ukishatolewa mahari unakuwa umeolewa? Na nifanye nini katika hili? Mimi ni mbena na mchumba wangu ni mchaga.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi wabena wa wapi mnaopenda mpaka harusi. Mpilushe sendi nza vanu nde visaha uhupiliha uhwenyo. Mimi najua jamaa kalipa mahari kashamaliza harusi ni mbwembwe zingine. Unye mlivabena wa whiya . Kilichobaki ni kubariki ndoa endapo mtapata hela . Mmeshapakuana mpaka mkapata mtoto . We mbena ebu jifikirie Kwanza. Angalia uwezoni wa mume wako kama anauwezo wa hiyo ndoa kwasasa. Ningekuwa Mimi ningeomba wazazi wako wanirudishie pesa zangu nifanyie masuala Mengine. Jiandae kuwa single mother.Habarini wana JF,
Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa mtoto wangu.
Kinachonifanya niombe ushauri ni hali iliyopo sasa.
Mwaka jana mwezi wa 6 mwenzi wangu alikuja kutoa mahari kwetu na kunivalisha pete ya uchumba wakati huo nilikuwa na mimba ya miezi 5.
Upande wa kiume wakaahidi tufunge ndoa mwezi wa 12 lakini ikaonekana kama Mungu akijalia nitajifungua salama basi mtoto atakuwa mdogo sana basi wakasogeza mpaka mwezi wa 4 mwaka huu na wakasema inabidi nikajifungue kwa mamamkwe na nitakuwa chini ya uangalizi wake .
namshukuru Mungu nilijifungua salama.
Sasa hivi mtoto ana miezi 5 wazazi wangu wanasema nirudi nyumbani sababu sijaolewa mpaka wanikabidhi kwa ndoa kabisa ila mama mkwe anasema nibaki sababu mahari ni ndoa tayari kanisani kubariki tuu mimi ni mke wa mtu. mchumba wangu ananiambia nikiondoka kurudi kwetu niondoke moja kwa moja nisirudi kwake. naombeni ushauri wenu juu ya hili.
Je ni kweli ukishatolewa mahari unakuwa umeolewa? Na nifanye nini katika hili? Mimi ni mbena na mchumba wangu ni mchaga.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo wewe unaangalia PA kupitia picha ya jamii forum je kila mtu humu anatumia jina na dp yake halali??Kumbuka ukienda kuomba ushauri mshauri anangalia vyote cha kwanza ni physical appearance time uliyoenda na baadae jambo lokupeleka
Unaweza bakwa hivi hivi umeenda kuomba ushauri bila kujicheck kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe hutumii halali unatumia halamukwahiyo wewe unaangalia PA kupitia picha ya jamii forum je kila mtu humu anatumia jina na dp yake halali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni imani tu lakini hakuna maandiko yanayosema mwanamke akishatolewa mahali lazima afunge ndoa kanisani. Na wala biblia nzima hakuna mtume au nabii aliyewahi kufungishwa ndoa kanisani. Ukishamaliza kuelewana na wazazi na ukatoa mahali inakuwa ni mkeo halali kwa mujibu wa maandiko. Haya masuala ya sijui kufunga ndoa kanisani ni kanuni za kanisa tu. Alafu wanaanza kututisha eti kama hujafunga ndoa unazini tu, watuoneshe mandiko! MbaaafUkifuata utaratibu wa imani yangu bado hujawa mke na unatakiwa hurudi nyumbani ila kimila wewe ni mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Sijaajiliwa bado nimemaliza chuo december nipo katika kutafuta ajirYour in a thin line between becoming single mother or becoming a married wife...
But nna maswali machache naomba kuuliza..
1. Umeajiriwa au una namna ambayo unapata kipato nje ya hela za mwenza wako?
2.Uhusiano kati yako na mkweo ukoje(Poor, Fair or Best).
3.Uhusiano wako na mwenza wako ukoje kwa maana (Mnapendana kwel au Bora kukuche)
4.Mahusiano ya Mwenza wako na familia yako yakoje(Poor, Fair or Best).
5. Kipato cha familia zenu (wewe na mwenza wako) kikoje
Ukisaidia hayo naweza kushauri kitu.