Naombeni Ushauri: Nitibiwe wapi kati ya India na Uturuki?

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,659
Wakuu naombeni ushauri wenu. Ninahitaji kwenda kutibiwa nje ya nchi. Je kati ya nchi hizi Mbili India na Uturuki ni wapi mnanishauri niende kutibiwa? Nauliza kwa misingi ya technologia ya matibabu na vifaa.
Yaani ni nchi gani bora kitabibu kati ya hizo?
Naomba mnishauri wakuu.
 
Uwe serious basi unapoamua kuomba ushauri mtu ataanzaje kukushauri wakati husemi unaumwa nini?.. haya nenda uturuki!!! Watanzania sijui tunatatizo gani yaani unakuta ni mtu mzima kabisa hata kujielezea hajui daah!!
 
Mijitu kwa Sifa bhana! Yani nawewe ujitangaze tu kuwa unataka kwenda ughaibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…