[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ni kwel namwomba sana ila wat if mungu kanipangia huyu
Ni ngumu kidogo... lakini ukiamua kuacha unaweza. Tafuta mwanaume ambae hajaoa. Machozi ya huyo mke wake yatakuja kukuteketeza hata kama ni miaka 20 ijayo.nifanyaje
najitaidi pia niombee nimwacheMajibu yako yanaonesha umeshafanya maamuzi ila huku unataka kuona msimamo wako upo sahihi?Katika chunguza yangu nimefanikiwa kugundua kuwa mwanamke huumizwa sana na kumpoteza mume wake ama katika mapenzi au kifo maumivu yake yanauma mno tofauti na kumpoteza baba au mama yake uliza utapata majibu.Huyo mwanaume wewe unaiba yupo ambaye anakuibia wewe pia hapo mnamwibia mwenye haki yake pia maandiko yanasema alichokiunganisha mungu hakuna wa kukitenganisha huyo mwanaume alisha unganishwa na mkewe acha kujifariji kijinga huyo si wako muogope mungu dada.
Kileleni kutamu?ananifikisha kileleni
Haya nitajitahidi kukuombea lakini tafadhali kua na nia ya kumuacha kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa.najitaidi pia niombee nimwache
NiPM fasta nikuonyeshe njia ya kutoka kwenye minyororo hiyo!nifanyaje