Naombeni ushauri: Tatizo la tumbo kuuma baada ya kufanya mapenzi

Naombeni ushauri: Tatizo la tumbo kuuma baada ya kufanya mapenzi

steve_MOMO

Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
44
Reaction score
11
Kiukweli demu wangu ana tatizo la tumbo kumuuma mara kwa mara na hii ni tangu tufanye mapenzi. Anadai tumbo linamuuma na sasa ana wiki moja tangu hapo tumbo linamuuma tu anadai hawezi tumia dawa bila kujua nini tatizo

Nimeona nije kuomba ushauri wenu kwanza kabla sijampeleka hospitali kupima. Kama kuna madaktari humu pls naombeni ushauri.

Asante
 
Kwakweli Sina USHAULI labda ungeomba ushauri.
 
Mkuu labda unaomba ushauri wa nini?
1. Umpeleke hosiptali au usimpeleke?
2. Unataka kujua kinachomsumbua?
3. Unahisi unaibiwa kwamba huyo dem haumwi??

*kuwa specific unataka ushauri juu ya nini
 
Kiukwel demu wangu ana tatzo latumbo kumuuma mala kwa mala na hii nitangu tufanye mapenz mm na yy anadai tumbo linamuuma na ss ana wiki moja tangu hapo tumbo lina muuma tu aana dai hawez tumia dawa bila kujuwa nn tatizo



So nimeona nije kuomba ushauli wenu kwanza kabra sijampeleka hospital kupma kama kuna madoktar humu pls naombeni ushauli pls ushauli wenu people mwenye ufahamu kuhusu hili



Musitukane tu jamani nawaomba#

Asante
mm sina ushauli kwa kweli ila nina ushauri kwako concentrate kwenye masomo yako
 
Mkuu labda unaomba ushauri wa nini?
1. Umpeleke hosiptali au usimpeleke?
2. Unataka kujua kinachomsumbua?
3. Unahisi unaibiwa kwamba huyo dem haumwi??

*kuwa specific unataka ushauri juu ya nini
Namba (1) naona ingenifaa zaid mkuu!
 
Namba (1) naona ingenifaa zaid mkuu!
Chief Afya ya mtu ni muhimu sana...
Kesho akifa unaweza kuanza unafiki wa kutoa milioni msibani wakati ulikua na uwezo wa kutoa elf 10 na ikamponya...

Fanya umpeleke tena itakuwa vizuri ukimsindikiza wewe mwenyewe...
 
Chief Afya ya mtu ni muhimu sana...
Kesho akifa unaweza kuanza unafiki wa kutoa milioni msibani wakati ulikua na uwezo wa kutoa elf 10 na ikamponya...

Fanya umpeleke tena itakuwa vizuri ukimsindikiza wewe mwenyewe...
Asante sana kwa ushaur wako and god bless u mkuu!)
 
Ulimpiga ile ya kichura chura nini? Wengne hawastahimili, ukifka lazma waanze kukuliza na hili keep may words, then wamchek ujauzito, wakitoka huko STDs, ilikua kavu sana au imebana?
 
Back
Top Bottom