elvis richard
Senior Member
- Dec 6, 2014
- 195
- 207
Ndugu zanguni naombeni ushauri wa biashara ya service bay ninayotaka kuianza hivi karibuni.
KWA KUANZIA NA AIR COMPRESSOR yenye ubora hasa ni ipi ?
1. Vigezo vyake kuanzia ujazo na hp yake pamoja na brand ipi ni nzuri ?
2. Biashara yangu hii nataka kuiweka kwenye sheli moja hapa town. Ninahitaji kuweka huduma gani nyingine mbali na hii huduma ya kujaza upepo ?
3. Vitu gani vinakamilisha huduma ya kujaza upepo in full package? namaanisha Vifaa vinavyokamilisha hiyo compressor !
4. Hii compressor mbali na kujaza upepo na kupiga rangi inafanya kazi gani nyingine. !?
5. Msaada wenu ni wa muhimu sana ndugu zangu, ajira hakuna na ndo tumeamua kujiajiri hivi !
.
.
karibuni kwa mawazo.
KWA KUANZIA NA AIR COMPRESSOR yenye ubora hasa ni ipi ?
1. Vigezo vyake kuanzia ujazo na hp yake pamoja na brand ipi ni nzuri ?
2. Biashara yangu hii nataka kuiweka kwenye sheli moja hapa town. Ninahitaji kuweka huduma gani nyingine mbali na hii huduma ya kujaza upepo ?
3. Vitu gani vinakamilisha huduma ya kujaza upepo in full package? namaanisha Vifaa vinavyokamilisha hiyo compressor !
4. Hii compressor mbali na kujaza upepo na kupiga rangi inafanya kazi gani nyingine. !?
5. Msaada wenu ni wa muhimu sana ndugu zangu, ajira hakuna na ndo tumeamua kujiajiri hivi !
.
.
karibuni kwa mawazo.