Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Mpe chuma nawewe kula chuma yaishe tuPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Hata wewe unakosa huruma..πKujinyonga kwema mkuu, nipe location nikuletee n kamba
Asile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.Kula kwanza ushibe..Kisha jinyonge..
Nipe ushauri. Namtaka kwa gharama yeyote IleDuu pole. Usijinyonge.
Mkuu sitanii. Huwezi kunipa mbadala kaa kimyaKula kwanza ushibe..Kisha jinyonge..
Jamani jamani ebu acheni utani baaasiiiAsile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.
Na akifa na njaa atapata adhabu mara mbili huko aendakoAsile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.
Maake hapo kwanza ncheke!!Asile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.
πππAsile jeneza litakuwa zito atatusumbua wabebaji.
Yale yale ya kulee...alafu baadae huyo mrembo aseme oh wanaume hawataki kuoa. Jamaa laki tano zimeenda na majiKujinyonga kwema mkuu, nipe location nikuletee n kamba