Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Yaani wewe Mpayungu unaanzisha uzi wa kiboya tu lakini unatembea page ya 10 saa hii, ama kweli..
 
. Kijana najua unatania haupo serious ila nikuombe kitu kimoja epuka sana kutamka kauli za na nataka kujinyonga au nataka kunywa sumu aiseee akili ni kompyuta imara sana inatunza kumbukumbu blaaaa usishangae maishani mwako ukaja ukajinyonga au ukanywa sumu inachokiitamka kama masiara kinatokea kweli ukiimpa shetani mamlaka ana nguvu mnooo atahakikisha anafanya hivyo kweli kwanza tubu pili hakuna jipya chini ya jua kilichokutokea wewe kwa mwanamke mmoja wengine kisharudia zaidi ya mara mbili na mbona hawakunywa sumu wala kujinyonga use your brain or your brain will use you .
 
Nimeshuhudia huu uzi ukibadilishwa kichwa! Hata mimi nilifikiri tu lazima mabadiliko yangetokea, maake hayana chama!

Umewatisha hadi mods! [emoji23][emoji23]
 
OK dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…