ummtotomlito
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 535
- 644
Duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Pole,,, Mwaume unalilia demu ambaye hakutaki...
Nilisha acha kutoa ushauri kwa watu sampuli yako
Liwalo na liwe tu,,
Mamaako kijijin anateseka uko bze kununua dhambi, ndio maana vijana wengi wana laana ila hawajijui. Mama Ako angekpa shukran nyingi utadhan we ndo umemzaa na angeendelea kukuombea mafanikio. We endelea kumfuatilia huyo binti kuna Jambo kubwa like nyuma yako usiache kutuletea hapa.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Mkuu umeongea kwa utani lakini binafsi haya maneno yako yameuchoma moyo wangu, ni kweli hii pesa ningewapa wazazi wangu hizo Asante zingetiririka mfululizo sms za SONGESHA.Mamaako kijijin anateseka uko bze kununua dhambi, ndio maana vijana wengi wana laana ila hawajijui. Mama Ako angekpa shukran nyingi utadhan we ndo umemzaa na angeendelea kukuombea mafanikio. We endelea kumfuatilia huyo binti kuna Jambo kubwa like nyuma yako usiache kutuletea hapa.
HujaombwaKujinyonga kwema mkuu, nipe location nikuletee na kamba
SimpPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
sasa hapa kila mtu atakufa kunahusiana vipiPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante