LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Mpe tafuta hela zaidi na mlie bati au mtafute rafiki yake mle na umjali kupitiliza.Nipe ushauri. Namtaka kwa gharama yeyote Ile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] AiseehhPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Atajua yeye hayo sisi hayatuhusuNa akifa na njaa atapata adhabu mara mbili huko aendako
Hapana jamani hapanaa [emoji22][emoji22][emoji22] kasema hanitakii zaidi ya mara tatu jamani dah [emoji25]Pole Sana mkuu acha usijinyonge mbona Huyo dada anakupenda. Anakupa muda tu akupime Kama unampenda kweli halafu wewe huo muda ndo unataka kujinyonga
Dah [emoji22]Na akifa na njaa atapata adhabu mara mbili huko aendako
Mkuu laki tano mbona sadaka tu mimi nimetoa juzi kumsaidia mtu ambaye hata sitarajii kukutana naye?Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Mkuu acha utani bassWe kweli hamnazo badala ukamnyonge aliyekula hela zako ww unataka ukajinyonge wewe
Basili mtazamo wa maishaPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Uyu wawapi jamani [emoji35]. Humu jamii forum hutakiwi kutaja identityWewe mgogo acha ushamba,huyo shori humpendi ila kinachokuuma ni vijisenti vyako vya kuuzia nyama alivyokula ndivyo vinavyokuuma...mpotezee na uendelee na maisha mengine.Halafu,upo Dsm wanawake ni wengi kama mchanga wa Coco Beach inajuwaje unaenda kumlilia Malaya!!!!!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Yale yale ya kulee...alafu baadae huyo mrembo aseme oh wanaume hawataki kuoa. Jamaa laki tano zimeenda na maji
Hapana mkuu nampenda jamani huyu dadakamloge
RiP…Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Halafu kweeeliiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]gooodddMpe tafuta hela zaidi na mlie bati au mtafute rafiki yake mle na umjali kupitiliza.
Mkuu kama umebakiza kahela kidogo naomba uje Pm tuyajenge nikuuzie jeneza zuri kwa bei nafuu kaka ili hata unapojinyonga usiwaachie mzigo ndugu zako maana hali ngumu mtaani.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Nina miaka 27 yeye Ana umri wa miaka 20Kwani wewe una umri upi! Na yeye je? Labda tuanzie hapo!!
Laki 5 zimefanyaje? Hata sijasoma uzi 🤣😂😂Yale yale ya kulee...alafu baadae huyo mrembo aseme oh wanaume hawataki kuoa. Jamaa laki tano zimeenda na maji
Mkuu inauma. Amini inaumaaaMkuu laki tano mbona sadaka tu mimi nimetoa juzi kumsaidia mtu ambaye hata sitarajii kukutana naye?
Yani binti kadanga tu, kanikuta mkao wa kutoa sadaka, nikampa matakwa yake kama hadithi jini la kusugua taa lile.
Na hapo kuna wengine wawili watu nawajua niliwapiga laki tno tano hivyo hivyo, katika wiki moja tu.
Pesa maua, hasara maisha.
Na hayo mapenzi mbona kuna wengine mamilioni wapo?
Dah [emoji22]Basili mtazamo wa maisha