Napoleon the second
Member
- Aug 25, 2019
- 86
- 91
Habari za majukumu wanajukwaa, bila shaka ni wazima wa afya.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu;
Ndugu wanajukwaa naombeni ushauri wenu hasa kwa nyie wazoefu na hii kitu inayoitwa "Masters of Arts in International Cooperation and Development" inayotolewa na Chuo kikuu Huria cha Tanzania.
Ndugu wanajukwaa, lengo kuu la kutaka kusoma "Masters" hii ni kuendeleza taaluma yangu pamoja na kutaka kupata maarifa na umahiri zaidi katika hili eneo ukilinganisha na sasa ambapo ninashahada ya Maendeleo ya Jamii. Na ninafanya kazi sehemu kama Afisa Maendeleo ya Jamii.
Ndugu wanajukwaa naomba mwenye uelewa mzuri katika hili eneo anishauri na kunipa mwongozo mzuri.
Ahsanteni sana naomba kuwasilisha mjadala kwenu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu;
Ndugu wanajukwaa naombeni ushauri wenu hasa kwa nyie wazoefu na hii kitu inayoitwa "Masters of Arts in International Cooperation and Development" inayotolewa na Chuo kikuu Huria cha Tanzania.
Ndugu wanajukwaa, lengo kuu la kutaka kusoma "Masters" hii ni kuendeleza taaluma yangu pamoja na kutaka kupata maarifa na umahiri zaidi katika hili eneo ukilinganisha na sasa ambapo ninashahada ya Maendeleo ya Jamii. Na ninafanya kazi sehemu kama Afisa Maendeleo ya Jamii.
Ndugu wanajukwaa naomba mwenye uelewa mzuri katika hili eneo anishauri na kunipa mwongozo mzuri.
Ahsanteni sana naomba kuwasilisha mjadala kwenu.