Nishauri dada angu.
Bado nahitaji ushauri wenu
Nishauri dada angu.
Jifunze jnsi ya kutengeneza mkaas wa kisasa uanzishe mradi upate kipato. mtaji unaweza kuwa nao hata wa sh 5000 nipigie nikupe maelekezo 0758 308193
Hiyo sehem nyumba yako ilipo inafaa kufanyia hiyo biashara ya guest house???? If so bas igeuze hivo then.ukapange ila hakikisha unapata wafanya kaz waaminifu
Hope panafaa ila si unajuwa huwezi juwa panafaa hadi ujaribu, also kwa kuanzia mimi ndo nitakuwa nipo pale hadi nipate michongo mingine ya maana.