Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 312
- 574
Wazee
Majuzi kati nimeenda hapa home kwa wazazi .
Sasa nimesajiri line mpya juzi tu nikaona ngoja nimjaribu huyu mzee.
Nikaandika text kwenda kwake.
"Vipi ile hela naisubiri me Suzy"
Nikaona tu mzee katabasamu baada ya text kuingia ..na akaondoka.
Baada ya muda imeingia 50k cash.
Sasa nishaurini wakuu
Ninunue k vant ama balimi?
Majuzi kati nimeenda hapa home kwa wazazi .
Sasa nimesajiri line mpya juzi tu nikaona ngoja nimjaribu huyu mzee.
Nikaandika text kwenda kwake.
"Vipi ile hela naisubiri me Suzy"
Nikaona tu mzee katabasamu baada ya text kuingia ..na akaondoka.
Baada ya muda imeingia 50k cash.
Sasa nishaurini wakuu
Ninunue k vant ama balimi?