Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 312
- 574
[emoji23][emoji23] Kwa hiyo atatatuliwa na mzee wakeEndelea kunywa k vant huku ukiwa umeshanunua kilainishi!
Haiwezekani hela ya mwanaume iliwe kirahisi hivi tena na mwanaume aliyejifanya mwanamke.
Kaa mkao wa kuja Kutatuliwa
Umezeeka mzee usiforce kuwa kijana kama sisi.Ikiwa umpewa bili kubwa na slay queen baa na huna hela...
Na pia kama huyo Dada kaja na pisi nyenzake kibwena na wamekula vyakutosha . Halafu salio lako linasoma kidogo. Tafadhali Tupigie tutakuja na polisi kukukamata kama muhalifu. Na ikiwa kuna mwingine yupo jirani nae ana msala kama wako. Aseme tu "mnampeleka wapi jamaa yangu jamani?" Nae...www.jamiiforums.com
Ukikua utaacha
Sent using Jamii Forums mobile app