Naombeni ushauri wenu nisije kuharibu kibarua changu

Naombeni ushauri wenu nisije kuharibu kibarua changu

Macbook pro

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
722
Reaction score
1,030
Habari za wakati huu wana Jf na wapenzi wasomaji wa Jukwaa Pendwa la MMU.

Mimi ni kijana ambaye sijaoa na nina miaka 30+ now ila nina mchumba. Huyu mdada niko naye takribani miaka miwili sasa. Hapa kazi alikwenda masomoni kwenda kuongeza Elimu yake na mimi nikabakia huku kwetu mtaani so ikawa ni mapenzi ya kwenye simu. Nisiwe muongo, huyu dada huja huku mkoani nilipo kuja kunisalimia na anaweza kaa hata wiki then anaondoka kurudi Chuo.

Anaweza kaa miezi miwili bila kuja home na mimi huku nikiwa naendelea Majukumu yangu ya Kijasiriamali. Katika kipindi ambacho hayupo zile wiki za mwanzo huwa naziwezea ila baadae nashindwa natafuta sehemu pakushushia Mzigo wangu na mwisho wa siku mahusiano yanaendelea kimtindo. Nampenda.

Ila katika mechi zangu za ugenini nimekuja kutokea kupata mdada mmoja wa Kisukuma ana SHANGA zake bhana[emoji3059][emoji3059]. Nimekuwa naye kwa muda sasa. Kupitia huyu dada nimejikuta napenda mwanamke akivaa Shanga na ninakuwa na moto wa Hatari. Sasa nataka nimnunulie Babe wangu shanga maana amenipigia leo hii kuwa atakuja Home. Ila naongopa kuulizwa maswali maana kabla ya hapo sikuwa napenda mwanamke akiwa na shanga ila huyu mchepuko kanifanya nipende mwanamke akiwa na shanga. Sasa nisaidieni wazo..! Nimpatie hela yeye ndio akanunue au nimnunulie nimpelekee kama surprise [emoji28].

Naomba mawazo na kama nikiulizwa maswali nisaidie namna ya kuyajibu au niache kumnunulia ?? [emoji3][emoji3]
 
Mwambie babe napenda kukuona hivi.

Pls pokea hii pesa ukatafute hichi kitu... Akikuuliza imekuwaje unamwambia tu 'usijali hun ni mambo ya kawaida nilikuwa napata shida namna ya kukufikishia.
 
Mwambie babe napenda kukuona hivi.

Pls pokea hii pesa ukatafute hichi kitu... Akikuuliza imekuwaje unamwambia tu 'usijali hun ni mambo ya kawaida nilikuwa napata shida namna ya kukufikishia.

Ahsante sana Mkuu, nitafanya hivyo.
 
Mwambie tu babe ebu jaribu kuvaa chachandu kama ntapenda na sex itakua tofauti na siku zote, hatokua na maswali kwani itakua kama wote mnataka kujaribu hivi.

Ila acha uhuni bana mara upo na mwenye chachandu mara mwenye kiuno plain baki njia kuu
 
Mbona simple tu si unamweleza ukweli tu babe napenda siku nikuone umevaa shanga lazima akuulize maswali kwanini jibu napenda tu.akiuliza maswali mengi sana unamwambia nimesoma mtandaoni nimekutana na stori ya kusisimua inayohusu iyo kitu.
 
Habari za wakati huu wana Jf na wapenzi wasomaji wa Jukwaa Pendwa la MMU.
Mimi ni kijana ambaye sijaoa na nina miaka 30+ now ila nina mchumba. Huyu mdada niko naye takribani miaka miwili sasa. Hapa kazi alikwenda masomoni kwenda kuongeza Elimu yake na mimi nikabakia huku kwetu mtaani so ikawa ni mapenzi ya kwenye simu. Nisiwe muongo, huyu dada huja huku mkoani nilipo kuja kunisalimia na anaweza kaa hata wiki then anaondoka kurudi Chuo.
Anaweza kaa miezi miwili bila kuja home na mimi huku nikiwa naendelea Majukumu yangu ya Kijasiriamali. Katika kipindi ambacho hayupo zile wiki za mwanzo huwa naziwezea ila baadae nashindwa natafuta sehemu pakushushia Mzigo wangu na mwisho wa siku mahusiano yanaendelea kimtindo. Nampenda.
Ila katika mechi zangu za ugenini nimekuja kutokea kupata mdada mmoja wa Kisukuma ana SHANGA zake bhana[emoji3059][emoji3059]. Nimekuwa naye kwa muda sasa. Kupitia huyu dada nimejikuta napenda mwanamke akivaa Shanga na ninakuwa na moto wa Hatari. Sasa nataka nimnunulie Babe wangu shanga maana amenipigia leo hii kuwa atakuja Home. Ila naongopa kuulizwa maswali maana kabla ya hapo sikuwa napenda mwanamke akiwa na shanga ila huyu mchepuko kanifanya nipende mwanamke akiwa na shanga. Sasa nisaidieni wazo..! Nimpatie hela yeye ndio akanunue au nimnunulie nimpelekee kama surprise [emoji28].
Naomba mawazo na kama nikiulizwa maswali nisaidie namna ya kuyajibu au niache kumnunulia ?? [emoji3][emoji3]
Jiandae na petroli hakuna jingine [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
Mwambie tu babe ebu jaribu kuvaa chachandu kama ntapenda na sex itakua tofauti na siku zote, hatokua na maswali kwani itakua kama wote mnataka kujaribu hivi.

Ila acha uhuni bana mara upo na mwenye chachandu mara mwenye kiuno plain baki njia kuu

Daaah Mkuu, Njiaa kuu ndio hiyo inakuja kwa msimu ?? [emoji20]
 
Back
Top Bottom