pole kwa yaliyokukuta ndugu yangu bt hapo kwenye red umeniacha njia panda
Halafu unaonekana wewe dada ni mbabe sana kwa nini ulimpa jina mtoto ambalo baba yake halitaki ? Pengine anahisi mtoto ana baba mwingine aliyetoa jina. Sasa mimi nakuamuru ukae haraka na mzazi mwenzio mjadili matatizo yenu.
asante kwa ushauri mzuri, tena kutoka kwa dada..
kweli ukipata mtoto nje ya ndoa ni bahati sana kuolewa. Pia mtoto ataathirika kiasi kwa kukosa uwepo wa mzazi mwingine..waulize watu waliokulia from single mothers watakwambia baadhi ya athari, weka degree pembeni kwenye masuala ya kijamii
Hata kama ni mimi nicngetaka kumwona ..... kutoa jina bila kumshirikisha mzazi mwenzio hiyo ni dharau!!
Stop TRIBE CALLING...ina maana wasioomba msamaha wote ni WaMachame?Nachukia watu wenye mawazo mgando!Kwa mila za makabira mengi yakitanzania utaratibu wakutoa jina la mtoto hua anapewa Baba mtoto kwanza, sina mashaka we binti ni Mchaga tena wa Machame kabisa coz hata msamaha hujamwomba mwenzio wakati kosa ushalitambua. Kwa nini umwite mtoto wa mwenzio CHAUSIKU? Ningekuwa mimi pia ningenuna na kususa kama huyo bwana, nae atakuwa MSUKUMA TU!
duh!.......Stop TRIBE CALLING...ina maana wasioomba msamaha wote ni WaMachame?Nachukia watu wenye mawazo mgando!
Habari ndo hiyo...hata Kloro akiwa nayo ntamchukia!duh!.......
wee endelea kugombana na waganga wa kienyeji tu, wakikuweka jipu la kwapa mimi stoi dozi. kaaz kwakoHabari ndo hiyo...hata Kloro akiwa nayo ntamchukia!
Kuwaamini tu siwaamini ndo nije kuwaogopa?wee endelea kugombana na waganga wa kienyeji tu, wakikuweka jipu la kwapa mimi stoi dozi. kaaz kwako
hellow everybody! Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuwa humu, so naombeni mnipokee,! Mimi ni msichana wa miaka 25,nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tatizo nililonalo ni kwamba,nilipata boyfriend,ambaye tulipendana sana kufikia hatua ya mimi kubeba ujauzito nashkuru mungu nimejifungua salama mwez wa2, issue kubwa ni kwamba,jamaa kanisusia mtoto kisa,hajapenda jina nililompa mtoto! And so far, hatujaoana! Ila tulikua na plans hizo. Mimi nipo kwe2 dar na yeye anaishi nje ya mkoa akiendelea na mambo yake. Bynow,hatak mawasiliano yoyote na mimi,haulizi hata mtoto wake anaendeleaje! Amekua akintolea maneno ya kashfa and all that stuffs!jamani,au mimi ndiye mkosaji? And its nt that i ddnt tel him b4,nilimwambia! Lkn ni kigeugeu sana! Jamani nifanyeje?should i leave hm alone and live my own life?trully ameniharibu psychologically! Sidhani kama ntakuja kupenda tena maishani! Plz help me...
Ahaa ahaa habari yake Da SophyBidada umesusiwa na kususwa? Halohalooooo! Hujachezwa wewe! Mwanaume anakususa vipi wewe unamfanyia nini? Rudi kwenu ukafundwe shosty na umri huo utasuswa sana. Jiulize wenzio tunachezea namba kubwa sembuse hiyo ya kwako 25 tu na mtu anakamatwa kisawasawa hafurukuti. Umevamia pori na wembe bidada rudi kajiandae upya.