OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Nina miliki kuwanja maeneo ya kigamboni nilinunua mwaka jana sh milioni 6 ....
Kiwanja kimepimwa na kina hati ya serikali yaani ni kiwanja chenye sifa zote...
Sasa kuna mtu kajitokeza anakitaka kwa sh milioni 12 ....
Pia nilienda benk kuomba mkopo wa milioni 7 wakanikubalia kwa kuwapa hati ya kiwanja ....
Sasa narudi kwenu ... Nikiuze au nichukue mkopo niendeleze biashara yangu ???
Kiwanja kimepimwa na kina hati ya serikali yaani ni kiwanja chenye sifa zote...
Sasa kuna mtu kajitokeza anakitaka kwa sh milioni 12 ....
Pia nilienda benk kuomba mkopo wa milioni 7 wakanikubalia kwa kuwapa hati ya kiwanja ....
Sasa narudi kwenu ... Nikiuze au nichukue mkopo niendeleze biashara yangu ???