Kuuza siyo mbaya. Ukipata kiwanja kingine kwa bei nzuri nunua. Hiko uza. Mambo za kukopa si nzuri unakuwa unawafanyia kaz bank bila kujua.
Kuuza nyumba au kiwanja ni kawaida. Si wengine tunauza kila siku na kununua.
Angalizo kama ndio una kiwanja kimoja tu jifikirie mara 2,2