Me ni miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa chuo cha Mzumbe,,,, sa jina langu sijaliona ktika list ya wanafunz waliopata mkopo,,, nimetafakari xana nimeona labda nipostpone mwaka niapplly tena mwakani course ya loggin and transport management pale NIT,,, 7bu hyo course ni priority nimetaka kutransfer naona muda ushaisha,,,, hvi munaonaje na hyo course nzuri,,,,