naombeni ushauri

naombeni ushauri

Shiwa

Member
Joined
Jun 22, 2017
Posts
5
Reaction score
2
usiku nikilala ikatokea nimeshtuka jicho langu moja linatoa machozi mengi nikifuta yanaongezeka zaidi na haliumi lakin naona tu machozi yanamiminika kwa muda mpaka nikisinzia linaacha. na hii hali imekua ikijirudia. ni tatizo gani??
 
Back
Top Bottom