ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu,
Mie ni kijana mwenye ndoto umri ( 24 ) na mwenye kipaji upande wa (IT) lakini changamoto yangu ni vifaa vya kazi tu,nakumbuka kabla sijapata kazi niliomba nipate kazi ili ninunue vifaa vya kazi ,lakini leo hii baada ya kupata kazi naona bora nijenge nyumba kwanza na kama ni vifaa ntanunua kwa baadae , isitoshe hii ajira niliyonayo ni kwa muda haijulikani itaisha lini !!
Ila muda wowote Mguu ndani Mwingine nje , kinachoniumiza zaidi nikuona vijana wenzangu wamejenga majumba wakati mimi sina hata bati moja , ila pia nachoona laiti ningepata vifaa vya kazi basi kwa siku kuanzia elfu 20 na kupanda basi ningeifikia kabisa ila sasa nashindwa kutambua nianze na kipi!!
NAWAOMBENI WENYE MAWAZO MNISAIDIE MAANA MPAKA SASA NIKO NJIA PANDA ILA NACHOSHUKURU PESA YANGU BADO SIJAIELEKEZEA KOKOTE .
KARIBUNI SANA MNIOKOE KIJANA MWENZENU .
Mie ni kijana mwenye ndoto umri ( 24 ) na mwenye kipaji upande wa (IT) lakini changamoto yangu ni vifaa vya kazi tu,nakumbuka kabla sijapata kazi niliomba nipate kazi ili ninunue vifaa vya kazi ,lakini leo hii baada ya kupata kazi naona bora nijenge nyumba kwanza na kama ni vifaa ntanunua kwa baadae , isitoshe hii ajira niliyonayo ni kwa muda haijulikani itaisha lini !!
Ila muda wowote Mguu ndani Mwingine nje , kinachoniumiza zaidi nikuona vijana wenzangu wamejenga majumba wakati mimi sina hata bati moja , ila pia nachoona laiti ningepata vifaa vya kazi basi kwa siku kuanzia elfu 20 na kupanda basi ningeifikia kabisa ila sasa nashindwa kutambua nianze na kipi!!
NAWAOMBENI WENYE MAWAZO MNISAIDIE MAANA MPAKA SASA NIKO NJIA PANDA ILA NACHOSHUKURU PESA YANGU BADO SIJAIELEKEZEA KOKOTE .
KARIBUNI SANA MNIOKOE KIJANA MWENZENU .