Sure the Boy
Member
- Aug 7, 2019
- 15
- 3
Ukipewa mbegu za papai utazifamyia nn? Ukiwa na jibu zuri niPm.Mimi ni kijana ninasoma chuo, (SUA) Bsc Agronomy, nipo Likizo dar kwa sasa sina cha kufanya, sina hela na sina connection wakubwa naombeni ushauri wenu, nawategemea kimawazo, naweza kufanya kitu gan ambacho walau kinaweza kuwa keep nanipatia hela hata za matumiz madg madg, au hata experience kwa kipind hik cha Likizo.
Nipo Ilala Kigogo kiongozupo dar sehemu gani nikusaidie mwana SUASO mwenzangu
Pamoja kaka ni wazo piaKuna mapori mengi tu yanaitaji wafyekaji kwa ajili ya maandalizi ya kilimo.