Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

nana29

Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
30
Reaction score
16
Habari zenu wanna jf. Naombeni ushauri kwenye bwawa langu la samaki Kuna vitoto vingi sana vya chura . Je hivi vinaweza kudumaza vifaraga wanguwa samaki? Nitafanyaje kuviondoa . Asanteni sanaa
 
Nadhani si vizuri wao kuwepo,namna ya kuwatoa tusubiri wataalamu au wenye uzoefu watusaidie
 
Back
Top Bottom