Goodluck7 Member Joined Mar 4, 2022 Posts 10 Reaction score 12 Nov 7, 2023 #1 Nina wazo la kufanya biashara ya ndizi either kutoka Bukoba kwenda Mwanza ama Dar, na mikoa mingne ila sina idea yoyote ya wapi naanzia, mtaji kiasi gani unahitajika na masoko yapoje. Kwa anaefahamu naomba anipe shule kidogo
Nina wazo la kufanya biashara ya ndizi either kutoka Bukoba kwenda Mwanza ama Dar, na mikoa mingne ila sina idea yoyote ya wapi naanzia, mtaji kiasi gani unahitajika na masoko yapoje. Kwa anaefahamu naomba anipe shule kidogo
S Superb2014 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 9,266 Reaction score 7,426 Nov 7, 2023 #2 Subiri wenye uzoefu waje kukupa ushauri, kila lakheri kwenye Biashara yako.
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,097 Reaction score 17,929 Nov 7, 2023 #3 Pambania kwenye masoko ili iwe rahisi kuuza. Mtaji unaweza anza ata na mikungu 10
Nrangoo JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 3,407 Reaction score 5,418 Nov 7, 2023 #4 Subiria wajuzi wa haya masuala
Youngstunna JF-Expert Member Joined Jul 5, 2016 Posts 266 Reaction score 300 Nov 7, 2023 #5 Ushauri wa bure epuka madalali