naombeni ushauri

maranatha

Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
58
Reaction score
11
nimezaa watoto idadi ninayoihitaji nataka kufunga kizazi lakini kuna watu wananipa hofu kwamba nikifunga kizazi kuna madhara mojawapo ni kuwa baridi au kukosa hamu ya tendo la ndoa.Je ni kweli?
 
nimezaa watoto idadi ninayoihitaji nataka kufunga kizazi lakini kuna watu wananipa hofu kwamba nikifunga kizazi kuna madhara mojawapo ni kuwa baridi au kukosa hamu ya tendo la ndoa.Je ni kweli?
ni uongo. kama waogopa basi tumia njia nyingine kama vile vidonge vya majira, ring, condom, kijiti katika mkono au salpingectomy (kukata mirija ya kuleta mayai katika mfuko wa uzazi), ni rahisi na ya uhakika zaidi. kama unamatatizo ya kuganda damu vidonge vya majira havikufai, vyaweza sababisha mabonge ya damu katika mishipa ya damu. kaongee na daktari kwa maelezo zaidi.
 
haina ukweli wowote, lakini itakuwa vizuri zaidi ukienda kuwaona wataalam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…