Hi wana jf,natumai mko poa nafikiri ni wakati sawia kueleza haya kipi kitakuwa bora kuonyesha mapenzi ya dhati kwa msichana na kukubaliana na vyote atakavyorespond au kutojihusisha na suala la mpz na kubaki kula kwa macho nakuteseka na mpz cjui mpz yanataka nini au bac tubalehe kipindi cha ndoa,nawasilisha.