ukipangiwa Mabibo itakuwa vizuri ukikaa home b'se no diff.with Sinza.ila hosteli ni bora zaidi kwani hakuna usumbufu,yaani home mara movie,kutumwa dukani n.k.pia kisaikolojia home hakuna anayesoma hivyo hakuna atakaye kufanya ushtuke na kuanza kusoma tofauti na hosteli ambapo ukiwaona wenzako wanaposoma na wewe lazima usome kwani roho itakuwa inakusuta.
Pamoja sana Mkuu tutakuwa wote UD.