Naombeni ushauri

jameslugendo

Member
Joined
Sep 5, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Mi, nimtoto wa mkulima ila nimepata post ifm computer science na sina uwezo wa kujilipia pia kozi yenyewe nackia haina soko, nifanyeje? Naombeni ushauri wakuu.
 
je una amin mambo ya kusikia??? je wewe unaipenda hiyo program?? jibu tuendelee...
 
Ningekuambia ukabadili course na uchague yenye kipaumbele kama edu,lakini sidhani kama ifm kuna kama hzo. Ila kama ulijua we mtoto wa mkulima,kwa nini ulichagua course zisizokuwa na mkopo?
 
kwanini usiendeleze fani ya baba yako ukulima?
 
Dogo hiyo kozi ina soko, msikalie maneno ya vijiweni.Ushauri wangu kama mambo yakishindikana, ahirisha mwaka jipange kwa ajili ya mwaka kesho na kuchagua kozi ambazo unaweza pata mkopo.Mda huo tafuta shule na piga "Tempo".Yangu ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…