venance H
Member
- Jan 27, 2013
- 41
- 24
Wakuu, mi nilikuwa mwl wa vodafasta, nilikuwa nafundisha Hesabu, baadae niliamua kujiendeleza na elimu ya chuo kikuu, baada ya kuondoka katika kituo changu cha kazi niliicha majonzi mengi kwa wanafunzi, Mimi na mwl mwingine tulikuwa tunalimudu sana somo la hesabu, walitutegemea sana hata shule jirani, mwezi wa saba nitamaliza shahada yangu ya kwanza katika masomo ya Hesabu na uchumi, shule nyingi za private baadhi ziko kahama kwa wachimba madini wanaonekana kuanza kunihitaji baada ya kumaliza masomo. je Naomba ushauri wana jf niendelee na kazi yangu serikalini au niende private school?