Habari zenu wana JF.
Mimi ni msichana nashindwa kuelewa haswa mzunguko wa siku zangu mana hua unabadilika sn na nahitaji mtoto kwa sasa nashindwa kujua tarehe za hatari za kushika mimba,mwezi wa 3 nilianza tarehe1 mwezi huu nimeanza tarehe31 yan hata sielewi..
Msaada wenu tafadhali.