Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

J627204

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
268
Reaction score
99
Mimi ni fundi wa kuchomea magari,mageti na kazi zote zihusikanazo nauchomeleahi msaada wangu ni kwamba kwa sasa hakuna kazi naombeni msaada ni biashara gani nzuri ili nitafute mtaji wakufanya biashara au naomba mjasiria mali anaye elewa anisaidie pia mwenye kazi anitafute namba ni +255756627204 kwa matumizi ya kazi tu
 
Back
Top Bottom