Naombeni ushauri

elias godfrey

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
35
Reaction score
6
Mm ni kijana ambaye npo chuo certificate semister 2 kozi ya uhasibu wakati npo semister 1 nilikua nasoma masomo 5 ambayo ni math,acc,business eng,office n computer ila kwa bahati nzuri niliperform vizuri ila isipokuwa somo 1 tu ambalo ni computer nilipata F nikaingia semister 2 huku nikiwa nadaiwa i mean natakiwa kulifanya tena upya likizo ya semister 2 n nimekuwa nikijituma sanaa ktk elimu ila kwa bahati mbaya matokeo yakizingua somo 1kk zngu,dada zngu,baba zngu n mama zngu naombeni ushauri juu ya hili nitumie trick gn ili niweze kufanya vizuri juu ya hili plz nahitaji mawazo yenu ndugu zngu
 
Cha kufanya usikate tamaa .pia ongeza nguvu na muda katika hayo masomo magumu.
All the Best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…