Naombeni uzoefu wenu kuhusu fugaji wa samaki

jinalako

Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
56
Reaction score
2
Wadau naombeni uzoefu wenu kuhusu ufugaji wa samaki hasa kwa hapa dar es salaam. Je unaweza ukawa ni mradi unaolipa? Nasikia kwamba kuna aina ya ufugaji ambao unaendana na ufugaji wa kuku yaani banda la kuku linakuwa juu ya bwawa la samaki. any ideas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…