Naona 500 ndiyo sarafu pekee imebaki mtaani

Naona 500 ndiyo sarafu pekee imebaki mtaani

Nenda kwa wauza mihogo miguu ya kuku na shingo za kuku plus vichwa utazikuta
 
Shilingi 5, 10, 20 na 25 zimepotea kitambo sana ingawa hazijafutwa katika fedha halali (legal tender)
 
Bado zipo sema zimekuwa adimu nadhani hiyo inakuja baada ya gharama za usafiri wa daladala kupanda kuwa 600

Moja ya dalili ya hizo coins kupotea sokoni ni pale utapoona waganga wanaangiza watu.

Utasikia mtu anakuja na matangazo kuwa ananunua coins za 50, 100, na 200 kwa bei ya milioni kama ambavyo saizi miatano ya noti inavyosakwa na waganga.
 
Bado zipo sema zimekuwa adimu nadhani hiyo inakuja baada ya gharama za usafiri wa daladala kupanda kuwa 600

Moja ya dalili ya hizo coins kupotea sokoni ni pale utapoona waganga wanaangiza watu.

Utasikia mtu anakuja na matangazo kuwa ananunua coins za 50, 100, na 200 kwa bei ya milioni kama ambavyo saizi miatano ya noti inavyosakwa na waganga.
Kummbe ni za kutunza.
 
Bado zipo sema zimekuwa adimu nadhani hiyo inakuja baada ya gharama za usafiri wa daladala kupanda kuwa 600

Moja ya dalili ya hizo coins kupotea sokoni ni pale utapoona waganga wanaangiza watu.

Utasikia mtu anakuja na matangazo kuwa ananunua coins za 50, 100, na 200 kwa bei ya milioni kama ambavyo saizi miatano ya noti inavyosakwa na waganga.
500 ya noti inauzwa shilingi ngapi?
 
Ila hamsini haina thamani huwa inapatikana chini ya uvungu , kwenye dust bin na chini ya seat ya gari watu wa 80s na 90s tulitumia 50 kununua beer
wenzio walizichanga wakanunulia bati ndugu wewe unakumbuka bia tuh

50 ilinunu tofali ya kuchoma makumbuka
 
Back
Top Bottom