Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Sijaona sarafu nyingine. Hata vitu kununua bei zinapangwa kuanzia 500. Labda viwili miatano au vitatu 1000. Ni ishara ya mfumuko wa bei?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazo sawa,lakin mchicha,karanga, na vingine vimeanza kufungwa kwa mafungu ya kuuzwa mia 5Hapa mbona mimi ninayo ma mia na mamiambili na hamsini ninazo!
Zipo lkn sio sn. Ni kama zinaadimika. Na zipo hizohizo kwenye mzunguko. Mpya huzikuti hasa 100 na 200Siyo kweli Shilingi 50, 100, 200, zipo Sana tu
Yeah bei imefumukaSijaona sarafu nyingine. Hata vitu kununua bei zinapangwa kuanzia 500. Labda viwili miatano au vitatu 1000. Ni ishara ya mfumuko wa bei?
Kummbe ni za kutunza.Bado zipo sema zimekuwa adimu nadhani hiyo inakuja baada ya gharama za usafiri wa daladala kupanda kuwa 600
Moja ya dalili ya hizo coins kupotea sokoni ni pale utapoona waganga wanaangiza watu.
Utasikia mtu anakuja na matangazo kuwa ananunua coins za 50, 100, na 200 kwa bei ya milioni kama ambavyo saizi miatano ya noti inavyosakwa na waganga.
500 ya noti inauzwa shilingi ngapi?Bado zipo sema zimekuwa adimu nadhani hiyo inakuja baada ya gharama za usafiri wa daladala kupanda kuwa 600
Moja ya dalili ya hizo coins kupotea sokoni ni pale utapoona waganga wanaangiza watu.
Utasikia mtu anakuja na matangazo kuwa ananunua coins za 50, 100, na 200 kwa bei ya milioni kama ambavyo saizi miatano ya noti inavyosakwa na waganga.
wenzio walizichanga wakanunulia bati ndugu wewe unakumbuka bia tuhIla hamsini haina thamani huwa inapatikana chini ya uvungu , kwenye dust bin na chini ya seat ya gari watu wa 80s na 90s tulitumia 50 kununua beer