Du kama ni hivyo mtoto anaweza kuwatamani hata wazazi wake mimi nashauri ahamishwe kitandani mara moja kanaweza vunja ndoa hako katoto, au kafungie kwenye kitanda chake pekee cha grill hata za mbao. Mimi na wife huwa tunalala watupu kabisanyengo usione aibu! hiyo ni kawaida sana Mwanasaikolojia SIGMUND FREUD kaeleza mengi sana ebu ingia mtandaoni ( sigmund Freud psychosexual stages) utacheki ni hatua mojawapo tu ktk ukuaji, ya kwanza inaitwa ORAL stage yaani wewe mpatie mtoto chini ya mwaka 1 utakuta kila kitu akikishika anaweka MDOMONI ..........na kuna stage akifika kama wa kiume anamtamani mama yake mzazi na wa kike anamtamani babayake kimapenzi!
Inabidi ueleze ni mapenzi ya aina gani unazungumzia ili wanajamii wakuelewe vizuriduuuu! hiyo kali nilikuwa sijui lol! kumbe watoto huwa wanatamani wazazi wao kimapenzi kaaaaaaaaaaaaaa! mpya hiyo..
Duh! Muwe mnamkataza kwa kutishia kumchapa.
Au anaonaga wewe unashka shka zako.
Mkataze kabla hajazoea hako katabia.
nyengo usione aibu! hiyo ni kawaida sana Mwanasaikolojia SIGMUND FREUD kaeleza mengi sana ebu ingia mtandaoni ( sigmund Freud psychosexual stages) utacheki ni hatua mojawapo tu ktk ukuaji, ya kwanza inaitwa ORAL stage yaani wewe mpatie mtoto chini ya mwaka 1 utakuta kila kitu akikishika anaweka MDOMONI ..........na kuna stage akifika kama wa kiume anamtamani mama yake mzazi na wa kike anamtamani babayake kimapenzi!
Tuna watoto wawili ktk famlia yetu, binti na wa mwisho ni mvulana. Mvulana ana mwaka mmoja na miezi sita. Sasa kinachonitia aibu ni kwamba huyu mtoto wa kiume tunapombadili nepi hua anashika nyeti zake na kuanza kucheka cheka kitu mbacho huwa naona aibu mbele ya mama mkwe ambae amekuja kututembela hivi karibuni.
Sijui ni kwa nini anafanya hiyvo na mnanishauri nifanyeje wanajamii
Ama kweli ukwaju ni mchachu! Nimecheka kweli, eti mtoto atavunja ndoa du!Du kama ni hivyo mtoto anaweza kuwatamani hata wazazi wake mimi nashauri ahamishwe kitandani mara moja kanaweza vunja ndoa hako katoto, au kafungie kwenye kitanda chake pekee cha grill hata za mbao. Mimi na wife huwa tunalala watupu kabisa
du tatizo
Umri wa mtoto umeu-note lkn?Duh! Muwe mnamkataza kwa kutishia kumchapa.
Au anaonaga wewe unashka shka zako.
Mkataze kabla hajazoea hako katabia.
Umri wa mtoto umeu-note lkn?
pole ila cha msingi kama unaona aibu na mama mkwe yupo kamfungie nepi mwanao chumbani.tuna watoto wawili ktk famlia yetu, binti na wa mwisho ni mvulana. Mvulana ana mwaka mmoja na miezi sita. Sasa kinachonitia aibu ni kwamba huyu mtoto wa kiume tunapombadili nepi hua anashika nyeti zake na kuanza kucheka cheka kitu mbacho huwa naona aibu mbele ya mama mkwe ambae amekuja kututembela hivi karibuni.
sijui ni kwa nini anafanya hiyvo na mnanishauri nifanyeje wanajamii