Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
kwa kweli fahari yangu kuu ndani ya moyo wangu ni Tanzania na kamwe si kuiona Zanzibar iliogawika kati ya Zanzibar na Tanganyika
najisikia fahari nisemapo nchi yangu Tanzania ambayo ina visiwa vizuri vya kuvutia vya Zanzibar na kujisifia Mlima kilimanjaro na mbuga na maziwa mbali mbali yalipo tanganyika
najionea fahari iliojaa kwenye moyo wangu nikiuangalia utajiri wa nchi yangu tanzania kwa mali asili ziliopo bara na pwani(zanzibar)
kazi ilio mbele yetu ni watanzania kujua utajiri tulionao na kutumia akili zetu kuifanya Tanzania yenye neema inawaneemesha watanzania wote
ni jukumu letu kuifanya Zanzibar zaidi ya Hongkong au singapore for sake of all
ni jukumu letu kuifanya Tanganyika kuwa zaidi ya German au england
nguvu ya nchi hizi zikiunganishwa na watu wake kuangalia zaidi opportunities tulizo nazo badala ya kukaa na kuota utengano tutakua mbali
wakati umefika kwa kila mtanzania kujituma zaidi na zaidi na kuhimizana kua tanzania kwanza na kujenga Tanzania yenye matumaini
tanzania ndipo kwetu
hakuna pengine katu
asitudanganye mtu
naipenda tanzania ndani ya moyo wangu
najisikia fahari nisemapo nchi yangu Tanzania ambayo ina visiwa vizuri vya kuvutia vya Zanzibar na kujisifia Mlima kilimanjaro na mbuga na maziwa mbali mbali yalipo tanganyika
najionea fahari iliojaa kwenye moyo wangu nikiuangalia utajiri wa nchi yangu tanzania kwa mali asili ziliopo bara na pwani(zanzibar)
kazi ilio mbele yetu ni watanzania kujua utajiri tulionao na kutumia akili zetu kuifanya Tanzania yenye neema inawaneemesha watanzania wote
ni jukumu letu kuifanya Zanzibar zaidi ya Hongkong au singapore for sake of all
ni jukumu letu kuifanya Tanganyika kuwa zaidi ya German au england
nguvu ya nchi hizi zikiunganishwa na watu wake kuangalia zaidi opportunities tulizo nazo badala ya kukaa na kuota utengano tutakua mbali
wakati umefika kwa kila mtanzania kujituma zaidi na zaidi na kuhimizana kua tanzania kwanza na kujenga Tanzania yenye matumaini
tanzania ndipo kwetu
hakuna pengine katu
asitudanganye mtu
naipenda tanzania ndani ya moyo wangu