Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Mnahamasisha michango wakati Mboe analipwa m50 kwa mwezi.. Then anajiita mzalendo na mfia chama...Hapana unamwonea huyu jamaa kusema ni ccm, ila anatoa angalizo. Kwenye suala mabango ni kweli, hali ya uchumi kwa chama siyo nzuri, tuendelee kuhamasisha kutoa michango ili TAL aendelee kutema nondo, hadi Lumumba wapoteane.
Usiseme hayo watakutukana. Maana hawapendi ukweli.Mnahamasisha michango wakati Mboe analipwa m50 kwa mwezi.. Then anajiita mzalendo na mfia chama...
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.
Majimbo kama Temeke,Mbagala,Kigamboni,Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa Ccm,hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda kawe ndio tunajitutumua.
Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya Ccm na mgombea wao,sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.
Hali hii inakatisha tamaa,maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika jumatano ijayo!
Kwani nilichosema ni uongo? Hakina manufaa kwa Chadema?Wewe tunakufahamu ni nani, na hutukutaji jina kulinda sheria za humu JF. Mamluki kaa vizuri dawa ikuingie vizuri.
Kifupi tutakuja kumalizia na hapo unapofikiria mmshinda kwa kukata matawi yote mliyoshikilia.
Usiseme hayo watakutukana. Maana hawapendi ukweli.
😀😀😀😀kuna wakati mtu ukiwa na shauhuku ya kucheka basi pita kwa ma greatthinkerUkishaona neno "chama changu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki kutoka chama mfu-CCM
Sasa hii kamanda inakusaidia nini? Zaidi ya kuonekana mpuuzi!Hivi hii kitu iliishia wapi
View attachment 1582220
Sasa hii kamanda inakusaidia nini? Zaidi ya kuonekana mpuuzi!
Muulize kwanza mwenyekiti wako Jiwe kwanini hajafanya kampeni kwa siku tano sasa? Iringa hajaenda ? Anawaomba msamaha watu wamsaidie kampeni unafikiri mchezo , soon sura mpya zitaonekana kwenye kampeni za CCM .Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.
Majimbo kama Temeke,Mbagala,Kigamboni,Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa Ccm,hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda kawe ndio tunajitutumua.
Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya Ccm na mgombea wao,sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.
Hali hii inakatisha tamaa,maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika jumatano ijayo!
Umemmaliza vibaya sana !Ukishaona neno "chama changu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki kutoka chama mfu-CCM
Kwani bungeni PAC walidanganya? Mbona mchumi Zitto alikuwa mpole,wewe ambae unaonekana huna shule ya kutosha unashabikia upuuzi kama huu?Nikipata majibu itanisaidia kujua huyo tembo alipoingizwa humo ndani aililiwa na akina nani ili tuwadai tembo wetu.
Kwa hiyo unalazimisha niwe Ccm?Muulize kwanza mwenyekiti wako Jiwe kwanini hajafanya kampeni kwa siku tano sasa? Iringa hajaenda ? Anawaomba msamaha watu wamsaidie kampeni unafikiri mchezo , soon sura mpya zitaonekana kwenye kampeni za CCM .
Huyo ni panya magawa wa Lumumba Hana lolote ni mjinga tuUkishaona neno "chama changu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki kutoka chama mfu-CCM
Makamanda wenzangu hata mchukie,hali ni mbya sana.Umemmaliza vibaya sana !
Kwani bungeni PAC walidanganya? Mbona mchumi Zitto alikuwa mpole,wewe ambae unaonekana huna shule ya kutosha unashabikia upuuzi kama huu?
Mbona 2015 chama chetu kilijaza mabango mpaka BuzaHuyo ni panya magawa wa Lumumba Hana lolote ni mjinga tu
Haya ni matusi?Hayo si majibu. We ungejibu tu kistaarabu. Sasa matusi ya nini?
Ukishaona neno "chama changu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki kutoka chama mfu-CCM
[/QUOTEKila anaewambia ukwei ni mamluki halafu baada ya uchaguzimseme mmeibiwa kura